Friday, 20 May 2016
Filled Under: MAKANISANI, ZA KITAIFA
Mwenyekiti wa kanisa la waadventista wasabato Ulimwenguni Mchungaji Dr. TED WILSON amefanya ziara ya Utume wa kazi ya Mungu Nchini CONGO akitokea RWANDA ambapo napo alifanya kazi ya kuzindua Mikutano mikubwa ya Neo la Mungu Na ambayo mpaka sasa inaendelea vizuri.
Wananchi na waumini wa kanisa la waadventista wasabato nchini Congo wamefarijika na ziara hiyo ya kiongozi huyo wa ngazi ya juu Ulimwenguni.
Akiwa Nchini CONGO Mchungaji Dr. Ted Wilson alikutana na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa Habari ambao aliweza kuzungumza nao juu ya kazi ya Kuupasha Ulimwenguu kuhusu Neno la Mungu.
Aidha Aliwatia Moyo sana wazidi kuifanya kazi yao wakimtanguliza Mungu kwa kila jambo.
Mwenyekit wa kanisa la waadventista wa Mwenyekiti wa kanisa la waadventista wasabato Ulimwenguni Mchungaji Dr. TED WILSON atembelea CONGO.
By
Unknown
Dated
10:12
Mwenyekiti wa kanisa la waadventista wasabato Ulimwenguni Mchungaji Dr. TED WILSON amefanya ziara ya Utume wa kazi ya Mungu Nchini CONGO akitokea RWANDA ambapo napo alifanya kazi ya kuzindua Mikutano mikubwa ya Neo la Mungu Na ambayo mpaka sasa inaendelea vizuri.
Wananchi na waumini wa kanisa la waadventista wasabato nchini Congo wamefarijika na ziara hiyo ya kiongozi huyo wa ngazi ya juu Ulimwenguni.
Akiwa Nchini CONGO Mchungaji Dr. Ted Wilson alikutana na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa Habari ambao aliweza kuzungumza nao juu ya kazi ya Kuupasha Ulimwenguu kuhusu Neno la Mungu.
Aidha Aliwatia Moyo sana wazidi kuifanya kazi yao wakimtanguliza Mungu kwa kila jambo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
God bless our president
ReplyDelete