Ad (728x90)

Tuna Develop/Design Blog & Website & Android Application ......0717331293

Saturday, 23 April 2016

Filled Under: ,

WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, WASANII NA MICHEZO MH; NAPE NNAUYE ASHIRIKI IBADA NA WAUMINI WA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO BABATI MKOANI MANYARA

MAKANISANI ZA KITAIFA
Mh Nape Nnauye(katikati aliyevaa T-shirt Nyeupe) sambamba na Mwenyekiti wa Union Conferensi ya Kaskazini mwa Tanzania Mch, Dkt. Godwin Lekundayo kushoto na baadhi ya baadhi yawainjilist wakiwa kwneye picha ya pamoja.





Kanisa la waadventista wasabato Babati lililoko mkoani MANYARA limekuwa na sabato ya pekee ya kuhitimisha Semina ya wainjilisti walei iliyoendeshwa kwa juma zima kanisa hapo.

Hitimisho la Semina hiyo na Ibada imeendeshwa na Mwenyektii wa Union Konferensi ya Kaskazini Mwa Tanzania Mchungaji Daktari Godwin lekundayo na kuhudhuriwa na Waziri wa habari Utamaduni Wasanii na Michezo Mh, Nape Nnauye na viongozi wengine wa kanisa hilo.

Unknown

Author & Editor

Naitwa Prince Emanuel, ni mtangazaji na muandaji wa vipindi kupitia Morning Star Radio na Morning Star Televesion Tanzania.

1 comments:

 

Copyright © UNCLE PRINCE ™ is a registered trademark.
Designed by Templateism. Hosted on Blogger Platform.