Tukio la uwizi umetokea katika ghorofa, lakini imeshindikana kutokana na ujasiri wa mfanyakazi wa kike, wenye nyumba,wamesafiri na kufunga baadhi ya vyumba, wezi wamekamatwa baada ya kelele za mfanyakazi, wamepigwa na wakazi wa mtaa wa swahili na baada ya muda polisi kufika na kuwakamata wakiwa na majeraha makubwa na kuondoka nao kuelekea kituo cha polisi msimbazi
Wednesday, 20 April 2016
Filled Under: ZA KITAIFA
Tukio la uwizi umetokea katika ghorofa, lakini imeshindikana kutokana na ujasiri wa mfanyakazi wa kike, wenye nyumba,wamesafiri na kufunga baadhi ya vyumba, wezi wamekamatwa baada ya kelele za mfanyakazi, wamepigwa na wakazi wa mtaa wa swahili na baada ya muda polisi kufika na kuwakamata wakiwa na majeraha makubwa na kuondoka nao kuelekea kituo cha polisi msimbazi
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA KARIAKOO
By
Unknown
Dated
08:05
Tukio la uwizi umetokea katika ghorofa, lakini imeshindikana kutokana na ujasiri wa mfanyakazi wa kike, wenye nyumba,wamesafiri na kufunga baadhi ya vyumba, wezi wamekamatwa baada ya kelele za mfanyakazi, wamepigwa na wakazi wa mtaa wa swahili na baada ya muda polisi kufika na kuwakamata wakiwa na majeraha makubwa na kuondoka nao kuelekea kituo cha polisi msimbazi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment