Zaidi ya Mbuzi na kondoo 200 huko Dihinda mvomero Mkoani Morogoro wamekatwa katwa na walinzi wa jadi kutoka Gairo wanaojulikana kwa jina la Mwanu '
Taarifa zinadai kuwa mifugo hiyo ilikula nusu ekari ya mazao ya mkulima mmoja kijijini hapo na taarifa zikawafikia walinzi hao ambao walifika na kukatakata mifugo hiyo mali ya mama mmoja mjana mfugaji wa jamii ya kimasai
Lakini Inadaiwa kuwa mifugo ya mama huyo haikuhusika kula mazao hayo bali ni mifugo ya mfugaji mwingine.
Waziri mwenye dhamana kupitia wizara ya mifugo na kilimo hivi sasa ameelekea eneo la tukio .
Tuesday, 9 February 2016
Filled Under: ZA KITAIFA
MOROGORO; ZAID YA MBUZI 70 WAKATWA KATWA MAPANGA KTK MGOGORO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI
By
Unknown
Dated
17:47
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment